Diwani mteule wa Kata ya Kivukoni, Ilala jijini Dar es Salaam Sharik Choughule akisalimiana na Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Sipora Liana alipofika katika Ofisi zake kwa ajili ya kuzungumza masuala mbalimbali ya kiutendaji ikiwemo kutafuta ufumbuzi wa kero zinazokabili wananchi katika Kata ya Kivukoni.
☝Diwani mteule wa Kata ya Kivukoni, Ilala jijini Dar es Salaam Sharik Choughule akisalimiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jumanne Shauri alipofika katika Ofisi zake kwa ajili ya kuzungumza masuala mbalimbali ya kiutendaji ikiwemo kutafuta ufumbuzi wa kero zinazokabili wananchi katika Kata ya Kivukoni.
☝Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Choughle akiwa Ofisini kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo hayo.👇
Post a Comment