Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akiapishwa na Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kuwa Mbunge wa Jimbo la Vunjo kupitia CCM katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa Bunge wa 12 bungeni Dodoma Dodoma leo. Wabunge mbalimbali waliapiashwa mara baada ya Ndugai kuchaguliwa kuwa Spika kwa muhula wa pili. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)
Dk Kimei akipongezwa na Spika Ndugai.Kulia ni Katibu wa Bunge, Steven Kagaigai
Katibu wa Bunge, Dk. Kagaigai akimkabidhi nyaraka Dk. Kimei
Dk. Kimei akiondoka baada ya kuapishwa.
Post a Comment