Featured

    Featured Posts

MAANDALIZI KWA AJILI YA SHEREHE ZA KUAPISHWA DK. MAGUFULI KATIKA UWANJA WA JAMHURI JIJINI DODOMA YAIVA

Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, umeng'ara na kuwa na muonekano wa kipekee kutokana na kunakshiwa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Sherehe ya kuapishwa Rais Mteule wa Tanzania ambaye ni Rais anayemaliza muhula wake wa kwanza Dk. John Magufuli, kama picha hizi mbalimbali zilizopigwa  leona Mpigapicha wetu Richard Mwaikenda zinavyoonesha. Sherehe hizo zimepangwa kufanyika Wiki hii, Novemba 5, 2020 katika Uwanja huo. 








 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana