Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa katika Ukumbi wa Ikulu, Chamwoino jijini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akiwa na Makiamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaafu Dk. Ali Mohammed Shein baada ya kikao cha Kamati kuu ya CCM kilichofanyika leo Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma, leo. Kulia ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan
Post a Comment