Featured

    Featured Posts

RAIS MPYA WA ZANZIBAR DK. HUSSEIN ALI HASSAN MWINYI ATINGA RASMI IKULU BAADA YA KUAPISHWA, LEO

Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimkarisha Rais mpya wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi kumakabidhi  rasmi dhamana za uongozi, Rais huyo mpya alipofika Ikulu Jijini Zanzibar, baada ya kuapishwa katika sherehe zilizofanyika Uwanja wa Amaani, leo.
Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Rais mpya wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi kumakabidhi rasmi dhamana za uongozi, Rais huyo mpya alipofika Ikulu Jijini Zanzibar, baada ya kuapishwa katika sherehe zilizofanyika Uwanja wa Amaani, leo.
 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana