Featured

    Featured Posts

TULIA AKSON ACHUKUA FOMU KUWANIA UNAIBU SPIKA JIJINI DODOMA, LEO

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake  Dk. Tulia Ackson akichukua fomu ya kuwania tena nafasi hiyo katika Bunge lijalo la 12, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),  katika Ofisi za Makao Makuu ya  CCM Jijini Dodoma, leo.
Dk. Tulia akizungumza na Waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu ya kuwania Unaibu Spika, leo
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana