Featured

    Featured Posts

DAWA YA CHANJO YA COVID19 INAYOWEZA KUTOA KINGA 100% HII HAPA

 

Chanjo inayotengenezwa na Kampuni ya Dawa ya Astra Zeneca kutoka Uingereza pamoja na Chuo Kikuu cha Oxford imepata mafanikio makubwa katika hatua ya majaribio na ipo tayari kwa matumizi.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Kampuni hiyo, chanjo inaweza kutoa kinga kwa 100% dhidi ya COVID19 baada ya mtu kupatiwa dozi mbili.

Hivi sasa Chanjo ya AstraZeneca inafanyiwa tathmini na Taasisi ya Udhibiti wa Dawa ya Uingereza. Imeelezwa, ina ubora sawa na zile ya kampuni za Pfizer-BioNTech na Moderna ambazo tayari zimeanza kutumika.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana