WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua jengo la Ofisi ya Halmashauri ya Mji wa Mbinga, Januari 4, 2021. Wa pili kulia ni Mkewe Mary , kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Ruvuma, Odo Mwisho. Wa nne kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme , wa pili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Cosmas Msheny na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga, Grace Quintine.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme wakifungua Jengo la Ofisi za Halmashauri ya Mji Mbinga, Januari 4, 2021.
Post a Comment