Magazeti ya leo, gazeti la mwananchi, global publisher, habari leo, habari mpya, ippmedia,magazeti ya leo tanzania, magazeti ya udaku, michuzi, michuzi blog, mpekuzi huru, mwananchi, mwanaspoti,nipashe, sekretarieti ya ajira
Majeruhi wa ajali ya Treniya Reli ya Kati wakipokelewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma usiku tayari kupatiwa huduma za matibabu. Watu watatu walikufa na 66 kujeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea eneo la Kigwe, Bahi mkoani Dodoma. Picha zote na Richard Mwaikenda
Post a Comment