Featured

    Featured Posts

MBUNGE AJITOSA KUTATUA MGOGORO WA KIMASLAHI WA WAWEKEZAJI, WATENDAJI WA SERIKALI NA WANASIASA KWENYE MGODI WA DHAHABU GEITA

Baadhi ya wachimbaji wadogo wadogo wa madini ya dhahabu na wamiliki wa mashamba, kwenye mgodi wa Isanjabadugu Nyakafulu wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita, wameiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa kimaslahi baina ya watendaji wa serikali, wawekezaji na wanasiasa ili kunusuru uvunjifu wa amani usitokee.

Wamebainisha hayo katika mkutano wa hadhara ulioitishwa na Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga aliyetembelea mgodi huo, Jana.

Kutoka Wilaya ya Mbogwe Mkoa wa Geita Cosmas Makongo anaripoti..👇



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana