Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MKUU WA BANDARI BAADA YA RIPOTI YA CAG, LEO



Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza uchunguzi Kufanyika wa TAKUKURU kwa BANDARI baada ya upotevu wa sh 3.6 bilioni na kumsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA) Engineer Deusdedith Kakoko Mara moja kupisha uchunguzi wa upotevu wa Fedha hizo.

Rais ameagiza hayo wakati amepokea ripoti 21 za ukaguzi mwaka wa fedha 2019/2020, kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, leo Machi 28, 2021 Ikulu Chamwino Dodoma.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana