Featured

    Featured Posts

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AREJEA DODOMA KUTOKA DAR ES SALAAM

 

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma akitokea Jijini Dar es salaam alikohudhuria Hafla ya kuapishwa kwa Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu wa Wizara mbalimbali pamoja na Baadhi ya Makamishna wa Taasisi za Serikali, leo April 06,2021  Ikulu Jijini Dar es salaam.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana