Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 200 TANGU KUZALIWA MWASISI WA TAALUMA YA UUGUZI DUNIANI ITAKAYO FANYIKA MKOANI MANYARA

Makamu wa Rais Chama cha Wauguzi na Ukunga (TANNA), Ibrahim Mgoo Leo April 6, 2021 ametia Saini katika Kitabu Cha Maombolezo kufutia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania wa Tanzania, Rais John Pombe Magufuli katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara mara alipo mtembelea kwa ajili ya Maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Kitaifa inayo tarajiwa kufanyika Mkoani humo Mei 12, 2021 na Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

Makamu wa Rais wa Chama Mgoo amesema Maandalizi yanaendelea Vizuri na huku akitoa wito kwa Wauguzi kote Nchini na Watanzania kwa Ujumla  kumuenzi Hayati Dkt. John Pombe  Magufuli kwa Kuchapa kazi kwa Uadilifu Kama ilivyokuwa Falsafa yake ya Hapa Kazi Tu. 

 *Pia anawakaribisha Wauguzi kote Nchini kwaajili ya Kuadhimisha miaka 200 ya tangu kuzaliwa mwasisi wa Taaluma ya Uuguzi Duniani, Bi. Florence Nightingale
 

 Pumzika Kwa Amani Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana