Featured

    Featured Posts

MWANYIKA AISHAURI SERIKALI KUTENGA BAJETI KUBWA YA UTAFITI WA MADINI NCHINI+video


Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Madini bungeni Dodoma, ambapo ameishauri serikali kutenga fedha nyingi kwa utafiti wa madini ili kutambua kiasi cha madini katika maeneo mbalimbali nchini.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Mwanyika akielezea umuhimu wa serikali kuongeza bajeti ya utafiti wa madini...Mhariri Blog ya Taifa ya CCM0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © 2025 Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana