Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA NDUGAI, IKULU JIJINI DODOMA, LEO KUZUNGUMZA NAYE, IKULU JIJINI DODOMA, LEO

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Yustino Ndugai, Ikulu jijini Dodoma, leo Aprili 20, 2021.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Yustino Ndugai baada ya mazungumzo yao leo Ikulu Jijini Dodoma. (PICHA NA IKULU)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana