Featured

    Featured Posts

BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA YAPITA BILA KUPINGWA

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa,  Elias Kwandikwa akipongezwa na wabunge baada ya Bajeti ya wizara hiyo kupita bila kupingwa usiku huu bungeni Dodoma.


Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias Kwandikwa  (katikati), Katibu Mkuu wa wizra hiyo, Faraji Mnyepe na Mnadhimu Mkuu Jeshini, Luteni Jenerali Yocoub Mohamed (kulia) wakifurahia jambo  baada ya Bajeti ya Wizara hiyo kupita bila kupingwa bungeni Dodoma.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa,  Kwandikwa akihitimisha kwa kutoa hoja ya Bajeti hiyo bungeni Dodoma.
Baadhi ya viongozi na  maofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wakiwa kwenye viwanja vya Bunge wakati wa bajeti hiyo.

Baadhi ya viongozi na maofisa wa Bunge wakitambulishwa bungeni Dodoma wakati wa Bajeti hiyo.


Waziri Kwandikwa akiwa na baadhi ya wageni wake kwenye viwanja vya Bunge
Baadhi ya viongozi na maofisa wa JWTZ

 PCHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana