Featured

    Featured Posts

DK. NCHIMBI AMKABIDHI RASMI OFISI MKUU MPYA WA MKOA WA SINGIDA DK. MAHENGE


Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi (kulia)  akimkabidhi kabrasha  Mkuu wa Mkoa huo Mpya Dkt. Bilinith Mahenge katika hafla iliyofanyika ofisi ya mkuu wa mkoa mjinini hapa.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi (kulia), akizungumza katika hafla hiyo.

Hafla ikiendelea.


Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Ahmed Kaburu, akizungumza katika hafla hiyo.



Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  Mkoa wa  Singida wakijitambulisha kwa mkuu wa mkoa mpya.
Wakuu wa Wilaya  Mkoa wa  Singida wakijitambulisha kwa mkuu wa mkoa mpya.
Viongozi wa dini  Mkoa wa  Singida wakijitambulisha kwa mkuu wa mkoa mpya.
Wenyeviti wa Halmashauri wakijitambulisha kwa mkuu wa mkoa mpya.
Wakurugenzi wa Halmashauri wakijitambulisha kwa mkuu wa mkoa mpya.

Hafla ikiendelea..
Hafla ikiendelea..


Hafla ikiendelea.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana