Featured

    Featured Posts

JANETH MAHAWANGA AIBANA SERIKALI BUNGENI KUHUSU USALAMA PEMBEZONI MWA DAR ES SALAAM+video

 

Mbunge wa Viti Maalumu, Mkoa wa Dar es Salaam, Janeth Mahawanga amehoji bungeni Dodoma Mei 17, 2021, Je Serikali ina mpango gani wa kutatua changamoto ya huduma kipolisi katika maeneo ya pembezoni mwa Miji ukiwemo Mkoa wa Dar es Salaam?

Mbunge huyo alihoji wakati wa kikao cha maswali na majibu ambapo alijibiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.

Mdau, nakuomba uendeee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mbunge Mahawanga akiuliza swali hilo na majibu aliyojibiwa....

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana