Featured

    Featured Posts

KATIBU MKUU WA CCM CHONGOLO ASIMIKWA KUWA CHIFU MAZENGO WA WAGOGO+video


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo akisimikwana wazee wa kimila  kuwa Chifu wa Kabila la Wagogo na kuitwa Chifu Mazengo wakati wa mkutano wa kujitambulisha kwa wanachama wa CCM Mkoa wa Dodoma Mei 21,2021, jijini Dodoma. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
 Chongolo akivishwa mgolole na wazee wa kimila wa Mkoa wa Dodoma.

Mdau nakuomba uendelee kuona/kusikiliza kupitia clip hii ya video yaliyojiri wakati  Katibu Mkuu wa CCM, Chongolo akisimikwa kuwa Chifu wa Wagogo......
 

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM

0754264203
 

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana