Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo akimkaribisha Balozi wa China hapa nchini Wang Ke, Balozi huyo alipofika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo akinukuu mambo muhimu wakati alipokuwa akifanya mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini Wang Ke, Balozi huyo alipofika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo. kwa ajili ya kuaga na kushukuru kwa ushirikiano alioupata katika utumishi wake. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Christina Mndeme ambaye pia ameshiriki katika mazungumzo hayo
Post a Comment