Featured

    Featured Posts

RAIS DK. MWINYI AFANYA MAZUNGUMZO NA MCHEZAJI MAMADOU WA CRYSTAL PALACE YA UINGEREZA, IKULU, ZANZIBAR, LEO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Soka ya Crystal Palace ya Uingereza, Mamadou Sakho, Ikulu jijini Zanzibar, leo. Kushoto ni mke wa mchezaji huyo Majda Sakho.
 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya ngao ya mlango wa Kizanzibar, mgeni wake Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace ya Uingereza Mamadou Sakho akiwa na mkewe Majda Sakho, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu jijini Zanzibar, (Picha zote na Ikulu)
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana