Katika kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Kituo cha Utafiti cha Taasisi ya Utafiti wa Kilimo nchini (TARI) kilichopo Kihinga mkoani Kigoma kimeendelea kuzalisha mbegu za zao la michikichi zitakazosambazwa kote nchini ili kuhakikisha nchi inapata mafuta ya kutosha ya mawese. zifuatazo ni picha mbalimbali tulizotumiwa na Afisa Habari wa Taasisi hiyo yaTARI, Junior Mwemezi ambaye ametembelea kituo hicho cha Kihinga👇
Post a Comment