Featured

    Featured Posts

MANISPAA YA UBUNGO YAANZA MAONYESHO YA WIKI YA HUDUMA KWA WANANCHI

Leo tarehe 22 Mei, 2021 Manispaa ya Ubungo imeanza kuadhimisha wiki ya huduma kwa wananchi  katika eneo la Mbezi Luis, mkabala na Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli, lengo ikiwa ni  kutoa elimu ya mlipa kodi, ulipaji wa ada mbalimbali pamoja na huduma za afya.


Aidha huduma mbalimbali zitatolewa ikiwemo ulipiaji wa leseni za biashara, leseni za vileo ushuru wa huduma (service levy), ushuru wa malazi,vibali vya ujenzi, vibali vya burudani na tozo mbalimbali


Pia elimu ya  ufafanuzi kuhusiana na mikopo mbalimbali inayoyolewa na halmashauri itatolewa 


Na zoezi la Upimaji wa afya bure , uchangiaji wa damu  na  kwa watoa huduma wote baba lishe, mama lishe wote mnakaribishwa.

Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali kuhusu mambo yalivyokuwa jana.






































author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana