Featured

    Featured Posts

WAZIRI MHAGAMA AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA ELIMU YA UFUNDI NCHINI+video


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, akizungumza wakati akifungua kongamano la wadau wa elimu ya ufundi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) lililofanyika leo Mei 27,2021 jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, akifafanua jambo kwa washiriki wa kongamano la wadau wa elimu ya ufundi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) lililofanyika leo Mei 27,2021 jijini Dodoma.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt .Adolf Rutayuga,akizungumza wakati wa kongamano la wadau wa elimu ya ufundi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) lililofanyika leo Mei 27,2021 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi NACTE John Kondoro,akizungumza wakati wa kongamano la wadau wa elimu ya ufundi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) lililofanyika leo Mei 27,2021 jijini Dodoma.

   

Baadhi ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa  kongamano la wadau wa elimu ya ufundi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) lililofanyika leo Mei 27,2021 jijini Dodoma.

   

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama,akiwa katika picha za pamoja mara baada ya kufungua  kongamano la wadau wa elimu ya ufundi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) lililofanyika leo Mei 27,2021 jijini Dodoma.


 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana