Featured

    Featured Posts

WAZIRI MKUMBO AAHIDI MAKUBWA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA+video

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Kitila Mkumbo akipongezwa na mawaziri wenzie pamoja na wabunge baada ya Bajeti ya wizara hiyo kupishwa bungeni Mei 22, 2021 jijini Dodoma.


Waziri akihitimisha hoja ya mjadala wa Bajeti ya wizara hiyo.

Mbunge wa Viti Maalumu, Stellah Fyao akichangia mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kuishauri serikali kuacha kuwanyanyasa wafanyabiashara.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila akichangia  mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara.
Madiwani kutoka Jimbo la Ubungo Dar es Salaam, wakifuatilia mjadala wa Bajeti ya Waizara ya Viwanda na Biashara bungeni Dodoma. Madiwani hao ni wageeni wa Waziri wa wizara hiyo, ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo, Dkt Mkumbo.


Wabunge na mawaziri wakimpongeza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Mkumbo baada ya Bajeti kupitishwa.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Mkumbo akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya Bajeti ya wizara hiyo kupitishwa. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza  clip hii ya video, Waziri Mkumbo akiwasilisha Bajeti ya wizara hiyo na kuomba wabunge waiunge mkono.....

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM

0754264203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana