Amewataka wabunge hao kuitua mizigo mizito ya kutoa fedha zao kuwasaidia wanawake bali wajikite kusimamia mgao huo wa asilimia 4 kwa wanawake kwa kupanga mipango ya kuwaendeleza na kujua zimetumikaje.
Pia, Baraza hilo linapaswa kujua Nchi nzima fedha kiasi gani zimetengwa, zimetolewa kwa kina mama wangapi kwani anazotaarifa kuna baadhi ya viongozi wamekuwa wakijinufaisha binafsi na fedha hizo.
|
Katibu Mkuu wa CCM, Chongolo akisisitiza jambo.
|
![]() |
Baadhi ya wabunge wa Vit Maalumu wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, Chongolo na viongozi wa UWT..
Katibu Mkuu wa UWT, Queen Mlozi akisema maneno ya utangulizi wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Baraza Kuu.
![]() |
| Sehemu ya wajumbe wa Baraza hilo. |
![]() |
Sehemu ya wajumbe wa baraza hilo wakiwa katika mkutano akisikiliza kwa makini wakati Katibu Mkuu Chongolo akihutubia
|
![]() |
| PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA |
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza clip hii ya video ujue Katibu Mkuu Chongolo alichozungumza kwenye mkutano huo.....







Post a Comment