Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kusimamishwa uongozi wa Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam, kupisha uchunguzi wa namna uongozi huo unavyoendesha shuguli za soko hilo.
Rais Samia amechukua hatua hiyo alipotembelea Soko hilo katika ziara ya ghafla na kujionea hali halisi na kupokea kero kutoka kwa baadhi ya wafanyabiashara aliozungumza nao.
Rais ameonesha kutoridhishwa na hali ya Biashara ya Sokoni na kuahidi kufanya tathimini ili kuweka mazingira katika hali nzuri.
Tazama Video hapo👇
Post a Comment