Featured

    Featured Posts

WANAFUNZI DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE LIKIZO WABAKI SHULE KUJIANDAA NA MITIHANI YA KITAIFA-MULUGO

 Mbunge wa Songwe,ambaye amewahi kuwa Naibu Waziri wa Elimu, Philip Mulugo akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti Kuu ya Serikali, bungeni Dodoma Juni 21, ameishauri Serikali kuwa wanafunzi wa darass la 7, kidato cha Nne wasiende likizo wabaki shuleni kujiandaa na mitihani ya kumaliza shule Ili  ufaulu uwe mzuri.


Ndau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mulugo akitoa ushauri huo na mwingine pia ....

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana