Featured

    Featured Posts

KAMATI KUU YA CCM YAWAPONGEZA RAIS SAMIA NA DKT MWINYI KWA UCHAPAKAZI+video


 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka (pichani) akielezea yaliyojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichowapongeza Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi kwa uchapakazi wao mzuri wenye mafanikio tangu waingie madarakani.

Shaka, ameyasema hayo wakati wa mkutano na wandishi wa habari katika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma Juni  22,2021 muda mfupi baada ya kikao hicho kumalizika ambapo pia alitangaza uteuzi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Kenani Kihongosi na mgombea Ubunge Jimbo la Konde, Micheweni Pemba, Sheha Mpemba Faki pamoja na kuwapongeza wabunge kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa kishindo.

 

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri kwenye mkutano huo na waandishi wa habari kuhusu maazimio ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM.....

 

Mhariri Blog ya Taifa ya CCM

075424203

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana