Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa itikadi na uenezi Ndg Shaka Hamdu akimsalimia Ndugu Salehe Daakiki mwanachama wa CCM na Mzee Maarufu Kata ya Mwera.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa itikadi na uenezi Ndg Shaka Hamdu akimsalimia Ndugu Salehe Daakiki mwanachama wa CCM na Mzee Maarufu Kata ya Mwera.
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Jaira Ndugu Hatibu Mnyamisi (kushoto) akizungumza na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ambae yuko ziarani wilayani Pangani
Ndugu Swaumu Abdala, Katibu wa Tawi la CCM Madanga akizungumza mbele ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka alipotembelea Madanga leo tarehe 12 Juni 2021
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa itikadi na uenezi Ndg Shaka Hamdu akiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Pangani Ndg Hassan Moyo wakinunua madafu kwa Mwanamama mjasiriamali pembezoni mwa kivuko cha Pangani.
Post a Comment