Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul (kushoto) akimkabidhi Nahodha wa Timu za Bunge, Naibu Spika, Dkt Tulia Ackson kombe la ushindi wa jumla wa Tamasha hilo.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Bunge ya Mpira wa Kikapu, kikombe cha ushindi wa mchezo huo.
Mchezaji wa timu ya Bunge, Halima Mdee akifurahia zawadi ya kuku baada ya kuwa mshindi wa mchezo wa kufukuza kuku.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Utamaduni, Pauline Gekul (kushoto) akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Soka ya Benki ya CRDB, Tully Mwambapa kombe la ushindi wa mchezo huo.
Wachezaji wa Timu za Bunge wakishangilia ushindi wa jumla
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapongeza wachezaji wa timu ya Bunge ya kuvuta kamba baada ya kuishinda timu ya CRDB.
Mchezo wa Pool
Mchezo wa Bao
Ilikuwa ni mbilingembilinge wakati timu ya Bunge ilipokuwa ikichuana na timu ya Benki ya CRDB wakati wa Tamasha hilo. Timu ya CRDB ilishinda kwa mikwaju ya penalti.
Wachezaji wa timu ya Benki ya CRDB (RANGI YA KIJANI) wakichuana vikali katika mchezo wa Netiboli. Timu ya Bunge ilishinda.
Mbunge wa Malinyi, Antipas Mgungusi akiwaongoza wabunge wenzie kuvuta kamba dhidi ya timu ya Benki ya CRDB. Timu ya Bunge ilishinda.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kagera, Neema Rugangira akiongoza wabunge wenzie katika shindano la kuvuta kamba dhidi ya Timu ya wanawake ya Benki ya CRDB. Bunge ilishinda.
Mashabiki wa timu ya Bunge wakishangilia baada ya kushinda mchezo wa kuvuta kamba dhidi ya CRDB.
Mchezo wa Drafti
Mchezo wa Bao
Mchezo wa Karata
Mchezaji wa Bunge Sports, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwan Kikwete akipiga penalti dhidi ya timu ya Benki ya CRDB.
Wakishindana katika mchezo wa kukimbia na gunia.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kuona kupitia clip hii ya video yaliyojiri kwenye tamasha hilo.....
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
0754264203
Post a Comment