MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MTAKATIFU MARTIN YA KIPATIMU KILWA
![](http://img2.blogblog.com/img/icon18_edit_allbkg.gif)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mtakatifu Martin ya Kipatimu wilayani Kilwa, Dkt. Christina Kasyama (kulia) kuhusu mashine ya X-ray wakati alipotembelea hospitali hiyo, Oktoba 6, 2021.
Post a Comment