Featured

    Featured Posts

MJUE NYUMBU ALIVYO HANA AKILI WALA KUMBUKUMBU HUONGOZWA NA PUNDAMILIA+video



     Nyumbu wakiwa Hifadhi ya Taifa Tarangire

 Muongoza Watalii  katika Hifadhi ya  Taifa ya Tarangire, Florence Shimbi  akielezea tabia ya mnyama Nyumbu ambaye akili yake ni sifuri, yaani hana kumbukumbu lakini ana uwezo mkubwa wa kunusa kwa umbali dalili za mvua. Nyumbu humtegemea sana Pundamilia ambaye ana kumbukumbu  hivyo humuongoza njia Nyumbu wakati wa kuhama.


Septemba 16,2021 nilibahatika kutembelea hifadhi hiyo nikiwa na viongozi wa Chama cha Skauti wa Kike cha Tanzania Girl Guides (TGGA) na kuzungumza na Mtalaam Florence ambaye alikuwa na mambo mengi ya kutuelezea kuhusu tabia za wanyama na ndege, miongoni mwao uhusiano uliopo kati ya Nyumbu na Pundamilia. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Nyumbu wakiwa karibu na Pundamilia Hifadhi ya  Taifa ya Tarangire.

N

Baadhi ya viongozi wa TGGA wakipiga picha walipotembelea hifadhi hiyo.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video hapa chini, Mtaalamu Florence akielezea kuhusu tabia ya Nyumbu.....

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana