Featured

    Featured Posts

MSONGOZI: SERIKALI INA MPANGO GANI WA KUJENDA KIWANDA CHA MBOLEA RUVUMA?

 

 Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi akiuliza swali bungeni kwamba Serikali ina mpango gani wa kuhakikisha bei ya mbolea inashuka au kuweka ruzuku ili kuwapa unafuu wakulima na kuliepusha taifa na janga la njaa?


Msongozi alihoji hayo alipouliza swali la msingi wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Februaei 14,2022.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana