Magazeti ya leo, gazeti la mwananchi, global publisher, habari leo, habari mpya, ippmedia,magazeti ya leo tanzania, magazeti ya udaku, michuzi, michuzi blog, mpekuzi huru, mwananchi, mwanaspoti,nipashe, sekretarieti ya ajira
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda akikagua kompyuta za mezani na mpakato 300 kabla ya kuanza kuzigawa kwa wakuu wa Vyuo vya Elimu nchini katika nhafla iliyofanyika katika ofisi ya wizara hiyo jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Omary Kipanga.
Waziri Mkenda akigawa kompyuta hizo kwa wakuu wa vyuo.
Waziri Mkenda, Naibu Waziri Kipanga wakiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa vyuo baada ya kuwagawia kompyuta hizo.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri wakati wa hafla hiyo....
Post a Comment