Featured

    Featured Posts

KASAKA: TULETEENI CHUNYA WALIMU, WAKANDARASI NA VIFAA TIBA+video

                     

Mbunge wa Lupa, Masache Kasaka, ameishauri serikali pamoja na mabo mengine kuhakikisha wanaweka vifaa tiba katika Zahanati na Vituo vya Afya ambavyo ujenzi wake umekamilika ili vianze kufanya kazi katika jimbo hilo lililopo wilayani Chunya, Mbeya. Pia ameelezea upungufu wa walimu katika shule nyingi zilizojengwa na hata kuwajengea nyumba za kuishi


Ametoa ushauri huo alipokuwa akichangia makadirio ya Bajeti ya TAMISEMI bungeni Dodoma Aprili 14, 2022.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, ujue mambo mengi aliyoyachangia.....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana