Featured

    Featured Posts

GENZABUKE AITAKA SERIKALI KUUNGANISHA UMEME GRIDI YA YAIFA MIKOA YA KIGOMA, KAGERA, RUKWA NA KATAVI+video


 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke ameishauri serikali kuifungua mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Kagera kwa kuinganisha umeme na gridi ya Taifa lakini pia ameipongeza serikali na hasa waziri mkuu kuhamasisha wananchi kulima zao la michikichi mkoani Kigoma kiasi kwamba hivi sasa matunda yameanza kuonekana.Genzabuke alikuwa anachangia majadiliano ya makadilio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu Aprili 12, 2022 bungeni Dodoma.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Genzabuke akitoa mchango wake huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
 0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana