Featured

    Featured Posts

MBUNGE MLAGILA AHOJI BUNGENI NI KWA NINI SERIKALI HAIPELEKI FEDHA ZA MAENDELEO KYELA?

 

Mbunge wa Kyela, Ali Jumbe Mlagila ametishia kushikilia shilingi mshahara wa Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa hadi atakapopata majibu sahihi ya kwa nini fedha za maendeleo za miundombinu hazipelekwi katika jimbo hilo.

Mlagila alitoa kauli hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya TAMISEMI bungeni Dodoma Aprili 19, 2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Jumbe akihoji jambo hilo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana