Featured

    Featured Posts

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI DKT FELESHI AONGOZA HAFLA YA KUWAAGA WASTAAFU+video

 

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt Eliezer Feleshi amewaongoza watumishi wa ofisi yake kuwaaga wastaafu katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma Aprili 22, 2022.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt Eliezer Feleshi (kulia) akimkabidhi zawadi mstaafu Agnes Becon Pilli ambaye alikuwa Katibu Sheria Mwandamizi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt Eliezer Feleshi (kulia) akimkabidhi zawadi mstaafu Afacky Hamisi Msigala ambaye alikuwa Mfasiri Sheria Mwandamizi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt Eliezer Feleshi (kulia) akimkabidhi zawadi mstaafu Richard Franklini Mbarouk ambaye alikuwa    Mwandishi Mkuu wa Sheria Msaidizi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt Eliezer Feleshi akitoa nasaha zake wakati wa hafla hiyo.
Kaimu Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Onorius Njole akizungumza wakati wa kuwatambulisha wastaafu waliokuwa wakiagwa.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Maura Mwingira akisherehesha hafla hiyo.
Wastaafu Agnes na Msigala wakiburudika kwa muziki.
Ilikuwa ni burudani kwa kwenda mbele.

Wakati wa maakuli





Wakicheza kwaito

 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA


Mdau,nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri katika hafla hiyo....


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana