Featured

    Featured Posts

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA EQUITY, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Dk. James Mwangi aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Dk. James Mwangi  akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, baada ya mazungumzo yao,  Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya Kumbukumbu na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Equity Dk. James Mwangi pamoja na Ujumbe alioambatana nao Mkurugenzi huyo, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo. Picha zote na Ikulu
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana