Tafadhali sikiliza USHAURI alioutoa Prof Sospeter Muhongo siku ya Alhamisi, tarehe 28.4.2022 kuhusu:
*umuhimu wa Benki Kuu kuwa na Akiba ya Dhahabu (Gold Reserves)
*umuhimu wa kukuza uchumi kwa kuchimba na kuuza:
(i) Gesi ya Helium
(ii) Madini adimu yanayohitajika sana ulimwenguni (critical technology metals)
*umuhimu wa uchumi kukua kwa zaidi ya 8% kwa kuwekeza zaidi kwenye Sekta za Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, na kwenye Uchumi wa Gesi.
CLIP/VIDEO ya ushauri ulioutoa Bungeni imeambatanishwa hapa.
Usisahau kutembelea TOVUTI ya Jimbo letu ambayo ni:
https://ift.tt/dh2yjrX
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
https://ift.tt/dh2yjrX
Post a Comment