Featured

    Featured Posts

MUSOMA VIJIJINI WAPANIA KUANZA UJENZI WA HIGH SCHOOLS ZA MASOMO YA SAYANSI+Audio

 


Idadi ya Sekondari ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini (Kata 21), hadi leo hii, ni kama ifuatavyo:


*Sekondari za Kata/Serikali: 22

*Sekondari Binafsi: 2

*Sekondari mpya zinazojengwa: 10


*High Schools: 1

(Masomo ya Arts)


UJENZI WA HIGH SCHOOLS za Masomo ya Sayansi unaendelea kwa kujenga miundombinu ifuatayo:


Maabara (Laboratories)

Sekondari zote ndani ya Jimbo letu zinakamilisha majengo ya maabara 3 (physics, chemistry na biology) na miundombinu yake.


Mabweni (Domitories)

Ujenzi wa mabweni ya Wanafunzi wa Kidato cha V & VI unaendelea kwa baadhi ya Sekondari.


Bwalo la Chakula (Dinning Hall)

Sekondari inayohitaji kuwa na High School italazimika kujenga Bwalo la Chakula kwa Wanafunzi hao.


Wanakijiji wa Kata ya Kiriba wameamua kujenga High School ya masomo ya Sayansi wakiwa na malengo ya kuanza kupokea Wanafunzi wa Kidato cha V ifikapo JULAI 2022


Tafadhali sikiliza CLIP kutoka RADIO Efm kuhusu ujenzi wa Kiriba High School - imeambatanishwa hapa.


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

https://ift.tt/FH6Itox




author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana