Wakitiliana saini mkataba
Waandishi wa habari na watumishi wa Stamico
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Drumlin, LinusiSeushy mtanzania ambaye ameingia mkataba na ABSA kusafirisha makaa ya mawe kutoka kwenye machimbo Kiwira mkoani Songwe hadi Bandari ya Mtwara kwa kutumia malori yake 3000.
Seushy amesema kuwa wamejiandaa kuhakikisha kila kitu kinafanyika kama kilivyopangwa kwakuwa ni jambo la kihistoria kwa nchi.
Wakionesha mkataba
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ABSA Commodities, Bw.Gerges Schmickrath akipongezana na mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo, Warter Nyaki
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ABSA Commodities, Bw.Gerges Schmickrath akipongezana na Seushy
Gheorghe Stan na Warter Nyaki wa Kampuni ya ABSA wakiwa na furaha
Wakiwa katika picha ya pamoja
Naibu Waziri Kiruswa akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ABSA Commodities, Bw.Gerges Schmickrath
Naibu Waziri Kiruswa akiagana na Seushy
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video ujue yaliyojiri wakati wa hafla hiyo....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
Post a Comment