Prof Sospeter Muhongo (pichani) na Wanakaya yake walioamkia hapo nyumbani leo tarehe 23.8.2022, tayari wahesabiwa.
Waliohesabiwa ni Wanakaya sita (6) na Wageni wawili (2).
Karani anafanya kazi yake kwa weledi mkubwa sana. Wanakaya na Wageni wote wamejibu maswali yote kwa usahihi unaotakiwa.
Watanzania wote tuendelee kuhesabiwa.
Reliable and unequivocal facts and figures are a prerequisite to any sound, well-informed and evidence-based plans, budgets, projects and programmes.
Picha za hapa zinawaonyesha Watu 8 waliohesabiwa nyumbani kwa Prof Muhongo. Karani nae yuko pichani.
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
https://ift.tt/ftmAgGu
Tarehe:
Jumanne, 23.8.2022
Post a Comment