Featured

    Featured Posts

KAYA YA PROF MUHONGO TAYARI IMEHESABIWA


Prof Sospeter Muhongo (pichani) na  Wanakaya yake walioamkia hapo nyumbani leo tarehe 23.8.2022, tayari wahesabiwa.


Waliohesabiwa ni Wanakaya sita (6) na Wageni wawili (2).


Karani anafanya kazi yake kwa weledi mkubwa sana. Wanakaya na Wageni wote wamejibu maswali yote kwa usahihi unaotakiwa.


Watanzania wote tuendelee kuhesabiwa.


Reliable and unequivocal facts and figures are a prerequisite to any sound, well-informed and evidence-based plans, budgets, projects and programmes.


Picha za hapa zinawaonyesha Watu 8 waliohesabiwa nyumbani kwa Prof Muhongo. Karani nae yuko pichani.


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

https://ift.tt/ftmAgGu


Tarehe:

Jumanne, 23.8.2022

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana