Mbunge wa Chalinze, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete akiulizwa maswali na Karani wa sensa alipokuwa akihesabiwa nyumbani kwake Msoga, Chalinze mkoani Pwani.
"Mapema leo nimeshiriki kusensabika #Sensa2022 kwa ajili ya Maendeleo. Ni furaha kwangu zoezi limekwenda vizuri. Maswali sio magumu yanajibika na wala hakuna ya kukwaza." @nbs.tanzania #Sensabika #SensaKwaMaendeleo #Tunahesabika
Post a Comment