Featured

    Featured Posts

RIDHIWANI: NIMEFURAHI KUSENSABIKA, MASWALI SIYO MAGUMU, HAYAKWAZI

Mbunge wa Chalinze, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete akiulizwa maswali na  Karani wa sensa alipokuwa akihesabiwa nyumbani kwake Msoga, Chalinze mkoani Pwani.

"Mapema leo nimeshiriki kusensabika #Sensa2022 kwa ajili ya Maendeleo. Ni furaha kwangu zoezi limekwenda vizuri. Maswali sio magumu yanajibika na wala hakuna  ya kukwaza." @nbs.tanzania #Sensabika #SensaKwaMaendeleo #Tunahesabika



 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana