Featured

    Featured Posts

RC SENYAMULE: TUTATUMIA TEKNOLOJIA ZA KISASA, DODOMA IWE KATI YA MIKOA WAZAZISHAJI WAKUBWA WA MAZAO+video

 


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule (anayeendesha mashine ya kisasa ya kupanda mbegu) amesema kuwa licha ya mkoa whuo kuwa kame, atahakikisha anahamasisha matumizi ya teknolojia za kisasa ili uwe miongoni mwa mikoa inayozalisha mazao kwa wingi nchini.Aidha amesema kuwa amepokea kijiti kutoka kwa mtangulizi wake kwa kuendeleza Dodoma kutokuwa na njaa. Amesyasema hayo alipokuwa akihutubia katika kilele cha Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kati jijini Dodoma Agosti 8, 2022.

RC Senyamule akikagua shamba la alizeti katika viunga vya maonesho vya Jeshi la Magereza .

Akikagua moja ya mashamba darasa katika viunga vya maonesho vya Jeshi la Magereza 

PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, akielezea kuhusu mikakati yake hiyo...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana