Zikiwa imebaki siku moja kufikia like jambo letu la KITAIFA, yaani SENSA ya Watu na Makazi linalotarajiwa kufanyika nchini more Agosti 23, 2022, Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga. TCAA-CCC, Bwana Innocent Kyara yeye yuko tayari kuhesabiwa na kutoa wito kwa wanajumuiya wote wa Baraza na Watanzania kwa ujumla kushiriki katika zoezi hilo muhimu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Post a Comment