Featured

    Featured Posts

SENSA YA WATU NA MAKAZI: KATIBU MTENDAJI BARAZA LA USHAURI WATUMIAJI HUDUMA ZA USAFIRI WA ANGA TCAA-CCC YUKO TAYARI KUHESABIWA

Zikiwa imebaki siku moja kufikia like jambo letu la KITAIFA, yaani SENSA ya Watu na Makazi linalotarajiwa kufanyika nchini more Agosti 23, 2022, Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga. TCAA-CCC, Bwana Innocent Kyara yeye yuko tayari kuhesabiwa na kutoa wito kwa wanajumuiya wote wa Baraza na Watanzania kwa ujumla kushiriki katika zoezi hilo muhimu kwa maslahi mapana ya Taifa.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana