Featured

    Featured Posts

SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAENDELEA KUSAMBAZA MAJI YA BOMBA MUSOMA VIJIJINI



Kasi ya kusambaza maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria inaongezeka siku hadi siku ndani ya Jimbo letu - Ahsante sana Serikali yetu chini ya uongozi mzuri sana wa Rais wetu, Mh SAMIA SULUHU HASSAN.


Vijiji vya Kata ya Nyambono na Kata ya Bugoji vimeanza kupata maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria.


Vijiji hivyo ni:

Kata ya Nyambono

Kijiji cha Nyambono

Kijiji cha Saragara


Maji haya ya bomba yatapelekwa hadi Kijiji cha Mikuyu, Kata ya Nyamrandirira


Vijiji hivi vimejengewa TANKI la LITA 200,000 Mlimani Nyabherango (Bajeti ya Mwaka 2021/2022)


Kata ya Bugoji

Kijiji cha Bugoji

Kijiji cha Kanderema

Kijiji cha Kaburabura


Vijiji hivi vimejengewa TANKI la LITA 200,000 za maji Mlimani Nyabherango


Vyanzo vya FEDHA za Serikali za Mradi huu ni:


UVIKO- 19: Tshs 500m

EP4R: Tshs 480m


RUWASA inafanya kazi nzuri sana Jimboni mwetu - Hongereni sana!


Tafadhali sikiliza CLIP/VIDEO yenye shukrani za Wanavijiji wa Jimbo la Musoma Vijijini - imeambatanishwa hapa.


Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Muhongo anaendelea kuhamasisha SENSA ya WATU na MAKAZI Jimboni mwetu. Leo  atakuwa Kata za Ifulifu (Vijiji 3) na Nyakatende (Vijiji 4)


Ofisi ya Mbunge

Jimbo la Musoma Vijijini

https://ift.tt/MRdvmW7



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana