Featured

    Featured Posts

WATANZANIA WATATU WAPATA USHINDI MASHINDANO YA KARATE UGANDA



Kushoto Moses Mwanyilu, Kenedy Isaac, Ali AmirAli, Ummikulthum Abdallah,  Hema Rathod wakiwa wamevaa medali za Dhahabu na kushika bendera ya Taifa lao baada ya kushinda kwenye michuano ya Heroes Cup yaliyofanyika nchini Uganda
 Washiriki watatu kutoka klabu ya Won Hyo ITF Taekwon-Do Center na wawili kutoka Choi Taekwon-Do Club za Tanzania, wakiwa wamevaa medali za dhahabu na kushika Bendera ya Taifa baada ya kushinda kwenye michuano ya Heroes Cup yaliyofanyika nchini Uganda. 

Mashindano hayo ambayo yalishirikisha nchi tatu Uganda, Tanzania, na Somalia.

 Washindi  wanaishukuru serikali ya awamu ya sita ikiongozwa na Rais Samia suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya hapa nchini.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana