Featured

    Featured Posts

ZIARA YA CHONGOLO BANDARINI TANGA NA MKINGA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiongozana na Meneja wa Bandari Tanga Ndugu  Masoud Athuman Mrisho pamoja na viongozi wengine wa Serikali na Chama wakati wa kukagua maendeleo ya upanuzi wa bandari ya Tanga utakaowezesha meli kubwa za mizigo kutia nanga. 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Bandari Tanga Ndugu  Masoud Athuman Mrisho (kulia) mara baada ya kutembelea bandari ya Tanga na kujionea maboresho yatakayosaidia kupokea meli kubwa za mizigo.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Bandari Tanga Ndugu  Masoud Athuman Mrisho (kushoto) mara baada ya kutembelea bandari ya Tanga na kujionea maboresho yatakayosaidia kupokea meli kubwa za mizigo. 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akijadiliana jambo na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Zahara Abdul Msangi (katikati) wakati wa mkutano wa Viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Magazeti Ya Leo

Copyright © Magazeti ya Leo, Habari Leo Tanzania, Mwananchi, Michuzi, mwanaspoti, nipashe, Udaku | Designed By Code Nirvana